Back to home
Waathiriwa wa uvujaji wa mafuta Thange walilia fidia miaka 10 baadaye
video
C
Citizen TV (Youtube)August 13, 2026
2h ago
Wakaazi wa eneo la Thange huko Kibwezi mashariki kaunti ya Makueni walioathiriwa na mafuta baada ya bomba la mafuta la kampuni ya Kenya pipeline kupasuka na kuvuja mafuta miaka 10 iliyopita bado wanalilia haki. Waathiriwa hawa sasa wakisema wameanza kukata tamaa ya kupata fidia l
Advertisement
Advertisement





