Back to home
Wang’ombe awaonya wakulima dhidi ya vyakula vilivyokuzwa kwa kemikali hatari
video
C
Citizen TV (Youtube)August 13, 2026
2h ago
Katibu wa idara ya jinsia na usawa, Ann Wang'ombe, amewaonya wakulima na wafanyabiashara dhidi ya kuuza vyakula vilivyokuzwa kwa kutumia kemikali hatari, akisema kemikali hizo zimechangia ongezeko la ugonjwa wa saratani.
Advertisement
Advertisement





