Back to home
Wauguzi wasitisha mgomo baada ya siku 43
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2026
2h ago
Wauguzi nchini wamesitisha mgomo wao ulioendelea kwa siku 43, baada ya kuafikia makubaliano ya kurejea kazini na Baraza la Magavana. Magavana, ambao awali walitaja matakwa ya wauguzi hao kuwa mazito kutekelezwa sasa wameafiki kushughulikia maswala muhimu kama vile marupurupu ya s
Advertisement
Advertisement





