Back to home

DCP yapuuza kuidhinishwa kwa Kindiki kuwa kinara wa Mlima Kenya

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 20, 2026
1h ago
Chama cha DCP kimepuuzilia mbali kuidhinishwa kwa Naibu Rais Kithure Kindiki kuwa kinara wa kisiasa wa eneo la Mlima Kenya, kikisema uongozi wa kisiasa unaamuliwa na wananchi na si wazee wachache. Katibu Mkuu wa DCP na Seneta wa Nyandarua John Methu amesema chama hicho kinaunga m
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play