Back to home

Vijana wataka serikali iwajibikie masuala yanayowakera

video
July 16, 2025
about 16 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Vijana kaunti ya Taita Taveta wametoa wito kwa serikali za kaunti sawa na ile ya kitaifa kuhakikisha masuala mbalimbali wanayokumbana nayo hasa suala la ukosefu wa ajira linaangaziwa..