Back to home

Mshukiwa wa mauaji anayedaiwa kumuua msichana akana mashtaka Nyamira

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 24, 2025
7h ago
Mshukiwa mkuu wa mauaji ya kinyama ya msichana mmoja aliyepatikana ameuwawa na kuzikwa eneo la Nyaosi katika kaunti ya Nyamira, alikana mashtaka katika mahakama kuu ya Nyamira kujibu.