Back to home

Muungano wa masista waitaka serikali kukinga watoto dhidi ya visa vya ulanguzi wa kingono

video
N
NTV Kenya (Youtube)
October 6, 2025
3h ago
Muungano wa masista wa kanisa la Katoliki nchini unaitaka serikali pamoja na mashirika ya kijamii kuweka mikakati maalum ya kukinga watoto kutokana na ongezeko la visa vya ulanguzi wa kingono miongoni mwa watoto hasa katika maeneo ya ukanda wa pwani. Subscribe and watch NTV Ken