Back to home
Katibu wa wizara ya afya Mary Muthoni aongoza hafla ya upanzi wa miti Kirinyaga
video
C
Citizen TV (Youtube)October 10, 2025
5h ago
Katibu wa afya Mary Muthoni amesisitizia kuzingatiwa kwa usafi kwa wakenya wote, akisema magonjwa yanayohusishwa na uchafu yamezidi nchini