Back to home

Wakenya wahimizwa kuzungumza waziwazi kuhusu afya ya akili baada ya mazishi ya Kimani Mbugua

video
N
NTV Kenya (Youtube)
October 29, 2025
1w ago
Baada ya mazishi ya aliyekuwa mwanahabari Kimani Mbugua Murang'a wito umetolewa kwa Wakenya kuanza kuzungumza waziwazi kuhusu afya ya akili na kuwakumbatia wanaopitia changamoto hiyo badala ya kuwatekeleza. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and ever