Back to home
Aliyekuwa mbunge wa Matungu, David Were ataka haki baada ya mwanawe kuuawa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 24, 2026
1h ago
Aliyekuwa mbunge wa Matungu, David Were, sasa anataka haki kufuatia kuuawa kwa mwanawe Hannington Were katika mazingira ya kutatanisha, huku tukio hilo likizua hofu kuhusu ongezeko la visa vya utovu wa usalama katika Kaunti ya Kisumu.
Advertisement
Advertisement





