Back to home

Polisi wachunguza kisa cha sehemu ya mwili kupatikana Embakasi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 24, 2026
1h ago
Maafisa wa upelelezi wanachunguza kisa ambapo sehemu ya mwili wa binadamu ilipatikana katika barabara ya Airport North, Embakasi, ikiwa imefungwa kwenye gunia na kukosa kichwa na viungo vingine, hali iliyozua wasiwasi mkubwa miongoni mwa wakazi. Kisa hicho kimeibua hofu kuhusu hu
Advertisement