Back to home
Huzuni makafani Naivasha wazazi wakitambua miili ya wanafunzi waliofariki moto Gilgil
video
C
Citizen TV (Youtube)May 30, 2026
1h ago
Huzuni, uchungu na majonzi zilihanikiza katika makafani ya hospitali ya Naivasha pale wazazi wa wanafunzi 16 waliofariki kwenye mkasa wa moto katika shule ya wasichana ya Utumishi walifika kutambua miili ya wana wao. Machozi yaliwatiririka kwa uchungu huku wakiangua vilio vya mau
Advertisement
Advertisement





