Back to home
Makueni: Wakazi wasema bei mpya za mafuta bado hazijapunguza makali ya gharama ya maisha
video
N
NTV Kenya (Youtube)April 16, 2026
2mo ago
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram
Ruto atia saini sheria ya kupunguza VAT ya mafuta kutoka 16% hadi 8% - April 2026
Rais William Ruto ametia saini mswada wa Marekebisho ya Ushuru wa Thamani (VAT) unaopunguza ushuru wa mafuta kutoka asilimia 16 hadi 8 kwa muda wa miezi mitatu. Hii ni baada ya serikali kutafuta msaada wa dharura kutoka Benki ya Dunia kukabiliana na gharama ya juu ya mafuta. Hata hivyo, wakazi wa Makueni wamesema bei mpya za mafuta bado hazijapunguza makali ya gharama ya maisha. Mbali na hayo, Mstaafu Jaji Mkuu David Maraga amekashifu ufisadi katika mpango wa uagizaji mafuta kati ya Kenya na mataifa ya Kiarabu.
Kenya yatafuta msaada wa dharura kukabiliana na gharama ya juu ya mafuta
Citizen TV (Youtube)
Video
Maraga akashifu ufisadi katika mpango wa uagizaji mafuta
Citizen TV (Youtube)
Video
4 stories in this topic
View Full CoverageAdvertisement





