Back to home

Waziri Duale atishia kumtimua mmiliki Mediheal kwa uvuvi wa viungo binadamu

video
August 1, 2025
2d ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Waziri wa afya Adan Duale anatishia sasa kumtimua mmiliki wa hospitali za Mediheal Daktari Swarup Mishra kwa kile amesema ni Mishra kuwajaribu kutishia serikali. Duale amesema tayari amefikisha ripoti ya kusikitisha ambako hospitali hiyo ilivuna viungo vya mwili vya binadamu na ..