Back to home
Miaka mitatu ya Ruto: Safari tata ya UHC, ahadi na kashfa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 10, 2025
3h ago
Serikali ya Kenya Kwanza iliingia mamlakani huku ikiwa imetoa ahadi kadhaa kwa wananchi, ikiwemo utekelezaji wa huduma za afya kwa wote. Miaka mitatu baadaye, serikali ya Rais William Ruto inakabiliana na changamoto za utekelezaji wa Mamlaka ya Afya ya Kijamii, inayosimamia hazin