Back to home
Maraga aendeleza kampeni Migori, aahidi kupambana na ufisadi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 27, 2026
3h ago
Kinara wa chama cha UGM David Maraga, amewaahidi wakenya kuwa atavipa kipaumbele vita dhidi ya ufisadi ikiwa watampa nafasi ya kuliongoza taifa kwenye uchaguzi wa mwaka ujao. Magara akiutaja ubadhirifu wa fedha za umma kuwa kizingiti kikubwa kwa huduma bora. Amezungumza alipozuru
Advertisement
Advertisement


![| MASKANI | Sakata, kashfa na ufisadi [ Part 4 ]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-MASKANI-Sakata-_1775728841-16x9.jpg)
![| MASKANI | Sakata, kashfa na ufisadi [ Part 3 ]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-MASKANI-Sakata-_1775728842-16x9.jpg)
![| MASKANI | Sakata, kashfa na ufisadi [ Part 2 ]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-MASKANI-Sakata-_1775725223-16x9.jpg)
![| MASKANI | Sakata, kashfa na ufisadi [ Part 1 ]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-MASKANI-Sakata-_1775725225-16x9.jpg)